read
news & Articles

Queens yashusha straika kutoka Uganda
Timu yetu ya Simba Queens imekamilisha usajili wa mshambuliaji Ainembabazi Joanitah raia wa Uganda kwa mkataba wa miaka miwili. Ainembabazi anakuwa mchezaji wa pili kusajiliwa

Ahmed: Wanasimba msiingie unyonge, Twendeni Kwa Mkapa Jumamosi
Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amewaomba Wanasimba kutokata tamaa na kuingia unyonge baada ya kupata matokeo mabaya kwenye mechi zetu mbili za ligi zilizopita.

Tumepata ushindi dhidi ya Dar City
Kikosi chetu kimepata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Dar City katika mchezo wa kirafiki iliyofanyika Uwanja wa Mo Simba Arena, Bunju. Mchezo huo ni

Tumeviweka hadharani viingilio vya mchezo dhidi ya ASEC
Novemba 25 kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili ASEC Mimosas kutoka Ivory Coast katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya

Ahmed: Tunawahitaji sana mashabiki Novemba 25
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amewasisitiza mashabiki kujitokeza kwa wingi Novemba 25 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye mchezo wa kwanza wa

Wachezaji wasiojituma watapigwa ‘Thank You’
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ ameweka wazi kuwa wachezaji ambao hawataonyesha uwezo wao na kujituma uwanjani hawatuvumiliwa hivyo wataachwa. Try Again