read
news & Articles
Alichosema Robertinho kuhusu mchezo na African Sports Kesho
Kocha Mkuu Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema tumejipanga kuhakikisha tunashinda dhidi ya African Sports kesho ili kutinga Robo Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC). Robertinho
Hivi ndivyo Queens ilivyomaliza Mzunguko wa kwanza SLWPL
Mzunguko wa kwanza wa Ligi ya Wanawake Serengeti Lite Women’s Premier League (SLWPL) umekamilika Februari 15 na timu yetu ya Simba Queens imemaliza ikiwa kinara
Mo amteua tena Try Again Mwenyekiti wa Bodi
Rais wa heshima ambaye pia ni mwekezaji Mohamed Dewji ‘Mo’ amemteua Salim Abdallah ‘Try Again’ kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba.
Henock, Kapombe, Mzamiru waingia kinyang’anyiro mchezaji bora Februari
Nyota watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha kuwania mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Februari (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Nyota
Robertinho ataja sababu za kiufundi za kumuingiza Erasto jana
Kocha Mkuu Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema katika mchezo wa jana dhidi ya Vipers, kipindi cha pili ilibidi kumuingiza kiraka Erasto Nyoni ili kupoza mashambulizi baada
Alichosema Robertinho baada ya ushindi dhidi ya Vipers
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefurahishwa na kiwango tulichokionyesha katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Vipers na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa