read
news & Articles
Kapombe afunguka faida ya mchezo wa marudiano dhidi ya Raja
Mlinzi wa kulia, Shomari Kapombe amesema mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca utakaopigwa Machi 31 kwa saa za Morocco
Timu yaanza mazoezi kujiandaa na Raja
Kikosi chetu leo kimeanza mazoezi kujiandaa na mchezo wa maruadiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca ambao utakuwa wa mwisho wa hatua
Manula, Mzamiru watwanga zote Stars ikiichapa Uganda, Misri
Nyota wetu wawili mlinda mlango Aishi Manula na kiungo Mzamiru Yassin ni miongoni mwa wachezaji wa timu taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ waliocheza dakika zote
Robertinho aelezea Maandalizi ya mchezo dhidi ya Raja
Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema maandalizi ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika ugenini dhidi ya Raja Casablanca yameanza rasmi leo. Robertinho
MOBIAD WASAINI MKATABA MNONO KWA VIJANA
Uongozi wa klabu umeingia mkataba wa miaka miwili na Kampuni ya Masoko MobiAd Afrika ambayo inawaweka karibu wafanyabiashara kwa ajili ya kuidhamini timu yetu ya
Queens, Yanga Princess hakuna mbabe
Mchezo wetu wa Serengeti Lite Women’s Premier League dhidi ya watani wetu wa jadi Yanga Princess uliopigwa Uwanja wa Uhuru umemalizika kwa sare ya kufungana