Mechi zetu nne zimeahirishwa

Bodi ya Ligi (TPLB) imehairisha baadhi ya mechi zetu ili kupisha mchezo kati ya timu ya taifa ya Zanzibar Heroes na Tanzania Bara ambayo itatumika kufungua uwanja wa Amaan, Zanzibar ambao umefanyiwa ukarabati mkubwa.

Hii ina maanisha mechi zetu nne ambazo tulitakiwa kuzicheza kuanzia Disemba 26 hadi Januari tano kuahirishwa.

Mechi zetu zilizoahirishwa ni

Disemba 26, Mashujaa vs Simba

Disemba 29, Tabora United vs Simba

Januari Mosi, Azam vs Simba

Januari 4, Geita Gold vs Simba

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER