read
news & Articles
Zimbwe Jr awaita mashabiki kuimaliza Ihefu Kesho
Nahodha Msaidizi, Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ amewaomba mashabiki kujitojeza kwa wingi kwenye mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ihefu FC utakaopigwa
Robertinho: Tumewafunga Ihefu Juzi, Kesho ni mechi mpya
Licha ya ushindi mnono wa mabao 5-1 tuliopata dhidi ya Ihefu FC juzi katika mchezo wa Robo Fainali wa Azam Sports Federation Cup, Kocha Mkuu
Robertinho, Baleke wang’ara tuzo za NBC
Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amechaguliwa kocha bora wa Ligi Kuu ya NBC wa mwezi Machi huku mshambuliaji Jean Baleke akichaguliwa mchezaji bora. Robertinho ameshinda tuzo hiyo
Baleke amfikia Bocco kwa Hat trick
Mshambuliaji Jean Baleke ameifikia rekodi ya nahodha John Bocco kwa kufunga mara mbili mabao matatu kwenye mechi moja ‘hat trick’ msimu huu. Katika ushindi wa
Robertinho awasifu wachezaji ushindi dhidi ya Ihefu
Kocha mkuu, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewasifu wachezaji kwa kuonyesha kiwango safi katika ushindi wa mabao 5-1 tuliopata dhidi ya Ihefu FC uliotufanya kuingia Nusu Fainali
Baleke apiga hat trick tukitinga Nusu Fainali ASFC Kibabe
Mshambuliaji Jean Baleke amefunga mabao matatu ‘hat trick’ katika ushindi wa 5-1 tuliyopata dhidi ya Ihefu FC katika mchezo wa Robo Fainali ya michuano ya