read
news & Articles

Simba yateuliwa kuwa Balozi wa Utalii Zanzibar.
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Simai Mohammed Said ameiteua klabu yetu ya Simba kuwa Balozi wa Utalii

Waziri wa Utalii Zanzibar akabidhiwa jezi yake ya Simba
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mheshimiwa Simai Mohammed amepewa zawadi ya jezi ikiwa ni muendelezo wa kukutana na Viongozi mbalimbali wa Serikali ya

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na APR
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa nje wa New Amaan Complex kuikabili APR ya Rwanda katika mchezo watatu wa michuano ya Kombe

Makamu wa Rais atupongeza kwa kutangaza Utalii wa Zanzibar
Makamu wa pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abbullah ameupogeza uongozi wa Klabu kwa kuamua kutangaza Utalii wa Zanzibar kupitia michuano ya Kombe

Benchikha awamwagia sifa wachezaji ushindi dhidi ya Singida FG
Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amewasifalu wachezaji kwa kuonyesha soka safi katika ushindi wa ambao 2-0 tuliopata dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa Kombe

Tumechukua pointi tatu za Singida FG
Mchezo wetu wa pili wa Kombe la Mapinduzi uliopigwa Uwanja wa New Amaan Complex umemalizika kwa kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya