read
news & Articles

Kauli ya kocha Mgosi kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Yanga Princess
Kocha Msaidizi wa Simba Queens, Mussa Hassan Mgosi amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga Princess utakaopigwa saa 11

Timu yafanya mazoezi ya kwanza Morocco
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya kwanza katika Uwanja wa Marrakech kujiandaa na mchezo wa Jumamosi wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca.

Timu yatua salama Marrakech
Kikosi chetu kimewasili salama katika mji wa Marrakech nchini Morocco tayari kwa mchezo wa tatu wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca utakaopigwa

Tumechangia Wahanga wa mafuriko Hanang
Klabu yetu leo imekabidhi msaada kwa ajili ya wahanga wa mafuriko na maporomoko yalitokea katika Wilaya ya Hanang mkoani Manyara mwishoni mwa juma lililopita. Mwenyekiti

VIDEO: Timu yaanza safari kuelekea Morocco
Kikosi chetu kimeanza safari ya kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya mchezo wa tatu wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika dhidi ya Wydad Casablanca utakaopigwa

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kabla ya kuanza safari mchana kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya mchezo wa
