read
news & Articles
Timu yaingia kambini Kujiandaa na Yanga
Kikosi chetu kimeingia kambini leo asubuhi tayari kwa maandalizi ya mchezo wetu wa Derby dhidi ya watani Yanga utakaopigwa Jumapili, Aprili 16 katika Uwanja wa
Robertinho, Baleke wakabidhiwa tuzo zao za NBC
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ na mshambuliaji Jean Baleke wamekabidhiwa tuzo zao za Ligi Kuu ya NBC za Mwezi Machi. Robertinho amechaguliwa kocha bora wa
Beleke awaliza Ihefu dakika za majeruhi Highland Estate
Mabao mawili yaliyofungwa dakika saba kabla ya kumalizika mchezo yametosha kutupa ushindi wa 2-0 dhidi ya Ihefu FC katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC
Kikosi Kitakachotuwakilisha dhidi ya Ihefu Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Highland Estate kuikabili Ihefu FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha mkuu, Roberto
Tabiri Kikosi kitakachocheza dhidi ya Ihefu Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Highland Estate kuikabili Ihefu FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tabiri hapa Kikosi
Preview: Mchezo wetu dhidi ya Ihefu
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Highland Estate kuikabili Ihefu FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunakutana na Ihefu