read
news & Articles
Preview: Mchezo wetu dhidi ya Yanga
Leo saa 11 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yanga katika mchezo wa ‘Derby’ wa Ligi Kuu ya NBC. Mchezo huu
Zimbwe Jr: Ni mechi ya hatma kwetu
Nahodha msaidizi, Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ amesema mchezo wa kesho dhidi ya watani Yanga utaamua hatma yetu ya ubingwa ndio maana tumeupa umuhimu mkubwa. Zimbwe
Robertinho: Tuna muendelezo mzuri katika mechi zetu zilizopita
Kuelekea mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya watani Yanga utakaopigwa kesho Uwanja wa Benjamin Mkapa Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema kikosi
Kitta aongezwa Bodi ya Wakurugenzi
Rais wa Heshima ambaye ni muwekezaji wa klabu, Mohamed Dewji ‘Mo’ amemteua Hussein Kitaa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu. Kitta alikuwa Mjumbe
Try Again aongoza Kikao cha Bodi ya Wakurugenzi
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu, Salim Abdallah ‘Try Again’ leo ameongoza kikao cha Bodi kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo ya
Kuelekea Derby Jumapili tumekuja na ‘Mnyama Package’
Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kukutana na watani wetu wa jadi Yanga tumekuja na mfumo mpya wa tiketi kwa ajili ya Marafiki kutoka kwenye