read
news & Articles
‘Vibe’ la Simba Chalinze Usipime
Mamia ya mashabiki wamejitokeza kwa wingi mjini Chalinze kwa ajili ya hamasa kuelekea mchezo wetu wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa barani
Queens yaichapa Mkwawa 4G Uhuru Dar
Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Mkwawa Queens kutoka Iringa katika mchezo wa Ligi ya Wanawake ya Serengeti Lite Women’s
Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Mkwawa
Simba Queens leo saa 10 jioni itashuka katika Uwanja wa Mkwawa mkoani Iringa kuikabili Mkwawa Queens katika mchezo wa Ligi ya Wanawake ya Serengeti Lite
M-BET yatoa milioni 100 kutinga Robo Fainali Mabingwa Afrika
Wadhamini wakuu wa klabu, Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya M-bet imetupa pesa taslimu Sh. 100,000,000 baada ya kufanikiwa kuingia Robo Fainali ya michuano ya
Hivi hapa Viingilio vya Mchezo wetu dhidi ya Wydad Casablanca
Viingilio vya mchezo wetu wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca tayari vimetangazwa na kile chini kitakuwa Sh. 5000. Viingilio
Timu yaingia Kambini kujiandaa na Wydad Jumamosi
Kikosi chetu kimeingia kambini leo asubuhi kujiandaa na mchezo wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca kutoka Morocco utakaopigwa Uwanja wa