read
news & Articles
Timu yatua salama Morocco
Kikosi chetu kimewasili salama nchini Morocco tayari kwa mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca utakaopigwa Ijumaa
Inonga, Baleke ndani ya Kikosi Bora cha CAF
Mlinzi wa kati, Henock Inonga na mshambuliaji Jean Baleke wamejumuishwa katika Kikosi Bora cha Wiki cha Ligi ya Mabingwa Afrika. Wawili hao wamepata alama nyingi
VIDEO: Timu Kuondoka Leo Usiku kuifuata Wydad
Meneja wa Habari na Mawalisiano wa klabu, Ahmed Ally amesema kikosi chetu kitaondoka leo saa mbili usiku kuelekea Morocco tayari kwa mchezo wa maruadiano wa
Robertinho awapongeza wachezaji ushindi dhidi ya Wydad
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewapongeza wachezaji kwa kufuata maelekezo waliyowapa katika ushindi wa bao moja tuliopata dhidi ya Wydad Casablanca kwenye mchezo wa kwanza
Tumekabidhiwa milioni tano kutoka kwa Rais Samia
Baada ya ushindi wa bao moja tuliopata dhidi ya Wydad Casablanca katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika tumekabidhiwa Shilingi 5,000,000 ikiwa ni
Tumefanikiwa kuifunga Wydad nyumbani
Kikosi chetu kimeibuka na ushindi wa bao moja katika mchezo wa Robo Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika uliopigwa katika Uwanja wa