read
news & Articles
Preview: Mchezo wetu dhidi ya Wydad
Leo saa nne usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Mohamed wa V nchini Morocco kuikabili Wydad Casablanca katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Morocco
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja Kharma kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad
Robertinho: Kesho Tutaingia na mbinu tofauti
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema kesho hatutacheza dhidi ya Wydad Casablanca kama ilivyokuwa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa wiki iliyopita katika Uwanja
Timu yafanya mazoezi ya kwanza Morocco
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya kwanza nchini Morocco yaliyofanyika katika Uwanja Kharma kujiandaa na mchezo wa maruadiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika
Queens yaichapa Amani Queens Uhuru
Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Amani Queens katika mchezo wa Serengeti Lite Women’s Premier League uliopigwa Uwanja wa Uhuru.
Kikosi cha Queens kilichopangwa dhidi ya Amani Queens
Timu yetu ya Simba Queens leo saa 10 jioni itashuka katika Uwanja wa Uhuru kuikabili Amani Queens katika mchezo wa Ligi ya Wanawake ya Serengeti