read

news & Articles

Preview: Mchezo wetu dhidi ya Wydad

Leo saa nne usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Mohamed wa V nchini Morocco kuikabili Wydad Casablanca katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Morocco

Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja Kharma kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad

Robertinho: Kesho Tutaingia na mbinu tofauti

Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema kesho hatutacheza dhidi ya Wydad Casablanca kama ilivyokuwa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa wiki iliyopita katika Uwanja

Timu yafanya mazoezi ya kwanza Morocco

Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya kwanza nchini Morocco yaliyofanyika katika Uwanja Kharma kujiandaa na mchezo wa maruadiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Queens yaichapa Amani Queens Uhuru

Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Amani Queens katika mchezo wa Serengeti Lite Women’s Premier League uliopigwa Uwanja wa Uhuru.

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC