read
news & Articles

Inonga aisaidia DR Congo kutinga robo fainali AFCON
Mlinzi wetu wa kati Henock Inonga ameisaidia timu yake ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutinga robo fainali ya michuano ya AFCON baada ya kuifunga

Queens yaichakaza Alliance bila huruma
Kikosi cha Simba Queens kimefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 7-0 dhidi ya Alliance Girls katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake uliopigwa katika

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Alliance
Simba Queens itashuka katika Uwanja wa Azam Complex saa 10 jioni kuikabili Alliance Girls katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake. Hiki hapa kikosi kilichopangwa

Queens yafanya mazoezi ya mwisho
Kikosi cha Simba Queens kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Veterani kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Wanawake dhidi ya Alliance

VIDEO: Mazoezi ya kwanza baada ya kikosi kurejea
Kikosi kimeanza mazoezi ya gym kuweka miili sawa baada ya mapumziko ya wiki mbili waliyopata wachezaji tangu kumalizika kwa michuano ya Kombe la Mapinduzi. Tazama

Tumetoka sare na Bunda Queens
Kikosi chetu cha Simba Queens kimetoka sare ya bila kufungana na Bunda Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake uliopigwa katika Uwanja wa Karume