read
news & Articles
Timu yafanya mazoezi ya utimamu kabla kuanza safari kuelekea Tanga
Kikosi kimefanya mazoezi ya utimamu wa mwili saa tatu asubuhi kabla ya kuanza safari ya kuelekea jijini Tanga tayari kwa mchezo dhidi ya Coastal Union
Tumepoteza dhidi ya Tanzania Prisons Jamhuri
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons umemalizika kwa kupoteza kwa mabao 2-1 mtanange uliopigwa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Prisons
Kikosi chetu leo saa 10 kitashuka katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Hiki hapa kikosi
Leo Tupo Jamhuri kuikabili Tanzania Prisons
Kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao utaanza saa 10 jioni. Tunaingia
Kikosi Kamili chaondoka kuelekea Morogoro
Kikosi chetu kimeondoka kuelekea mkoani Morogoro tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Uwanja wa Jamhuri saa
Kauli ya Kocha Matola kuelekea mchezo dhidi ya Prisons
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakuwa mgumu lakini tumejipanga kuhakikisha tunapata matokeo chanya.