read
news & Articles

Timu yafanya mazoezi ya mwisho
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Felix – Houphouet – Boigny tayari kwa kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa

Kauli ya Kocha Benchikha kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya ASEC
Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha amesema malengo yetu kwenye mchezo wa kesho wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas ni kupambana ili

Manula: Hatuna presha na mchezo dhidi ya ASEC
Mlinda mlango Aishi Manula amesema pamoja na ugumu na umuhimu wa mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas utakaopigwa Ijumaa

Timu yafanya mazoezi ya kwanza Ivory Coast
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya kwanza nchini Ivory Coast jioni tayari kwa kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC

VIDEO: Mratibu wa timu atoa ratiba nzima baada ya timu kutua Ivory Coast
Mratibu wa timu Abbas Ally amesema baada ya timu kuwasili nchini Ivory Coast wachezaji wamepumzika na kesho jioni wataanza mazoezi rasmi kujiandaa na mchezo dhidi

VIDEO: Timu yawasili salama Ivory Coast
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Abidjan nchini Ivory Coast kamili kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas