read
news & Articles

Tumetinga Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuifunga Jamhuri bao moja katika mchezo uliopigwa Uwanja wa New Amaan

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Jamhuri Leo
Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Jamhuri katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Mapinduzi. Kocha

Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na Jamhuri
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa nje wa New Amaan Complex kuikabili Jamhuri katika mchezo robo fainali ya michuano ya Kombe Mapinduzi

Babacar aanza mazoezi Zanzibar
Kiungo mpya mkabaji, Babacar Sarr ameanza mazoezi ya utimamu wa mwili ili kujiweka sawa kabla ya kujiunga moja kwa moja na wenzake. Babacar amekamilisha usajili

Kauli ya Matola kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Jamhuri
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema kikosi kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya

Alichosema Ahmed baada ya usajili wa Sarr
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema usajili wa kiungo mkabaji, Babacar Sarr utaenda kutibu matatizo yote ya kiulinzi ya timu yetu. Ahmed
