read
news & Articles
Kwaheri Victor Akpan
Uongozi wa klabu unatangaza kufikia makubaliano ya kuachana na kiungo mkabaji Victor Akpan raia wa Nigeria. Akpan alijiunga nasi Julai, 2022 akitokea Coastal Union lakini
Try Again: Msimu ujao hatutakuwa wanyonge
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ amewathibitishia Wanasimba kuwa msimu ujao wa ligi hatutakuwa wanyonge tumejipanga kusuka kikosi imara kwa ajili ya
Ntibazonkiza akabidhiwa tuzo yake ya Emirate Aluminium
Kiungo mshambuliaji, Said Ntibazonkiza amekabidhiwa tuzo yake ya mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Mei (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Ntibazonkiza
Jentrix akabidhiwa kiatu cha ufungaji bora SLWPL
Mshambuliaji Jentrix Shikangwa amekabidhiwa tuzo yake ya mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite Women’s Premier League (SLWPL) 2022/23. Shikangwa amekabidhiwa kiatu
Ntibazonkiza achukua tuzo ya Fair Play NBCPL
Kiungo mshambuliaji, Saido Ntibazonkiza ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa kiungwana (Fair Play) katika hafla ya tuzo za TFF zinazofanyika jijini Tanga. Ntibazonkiza ameipata tuzo
Ntibazonkiza Kiungo Bora NBCPL
Kiungo mshambuliaji Saido Ntibazonkiza amechaguliwa kiungo bora wa Ligi Kuu ya NBC 2022/23 katika hafla ya tuzo za TFF zinazoendelea jijini Tanga. Ntibazonkiza amewapiku nyota