read
news & Articles

Mchezo wetu dhidi ya Mtibwa Sugar umeahirishwa
Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) imeahirisha mchezo wetu dhidi ya Mtibwa Sugar ambao ulipangwa kucheza Jumapili ya Februari 18 katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.

Highlights: JKT Tanzania 0-1 Simba
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania uliopigwa Uwanja wa Meja Jenerali Michael Isamuhyo umemalizika kwa kuibuka na ushindi wa bao

Tumepata Pointi tatu Meja Jenerali Isamuhyo
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania uliopigwa Uwanja wa Meja Jenerali

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya JKT Tanzania
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Meja Jenerali Michael Isamuhyo ulioko Mbweni kuikabili JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya

Tupo Meja Jenerali Isamuhyo kuikabili JKT Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Meja Jenerali Michael Isamuhyo kuikabili JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tutaingia

Alichosema Cadena kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya JKT Tanzania
Kocha wa Makipa, Daniel Cadena amesema kikosi chetu kipo kwenye hali nzuri kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania utakaopigwa
