read
news & Articles
Jefferson Luis ni Mnyama
Mlinda mlango, Jefferson Luis Szerban (29) raia wa Brazil amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba. Jefferson tumemsajili kutoka klabu ya Resende FC kutoka
Miquissone amerejea unyamani
Tumemsajili kiungo mshambuliaji Jose Luis Miquissone anarejea tena Simba baada ya kuitumikia klabu yetu kwa mafanikio makubwa kabla ya kuuzwa kwa miamba ya Afrika Al
Jezi zenye majina ya Viongozi zatambulishwa kileleni
Tumefanikiwa kuzindua jezi zetu ambazo tutazitumia kwenye mashindano mbalimbali msimu ujao kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro. Kwenye jezi hizo tumeandika majina mgongoni ya Viongozi wa
Timu yatembelea Ubalozi nchini Uturuki
Kikosi chetu leo kimetembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Uturuki na kuzungumza mambo mbalimbali na mwenyeji wetu, Balozi Luteni Jenerali, Yakubu Hassan Mohamed. Luteni Jenerali, Yakubu
Hussein Kazi ni Mnyama
Katika kuendelea kufanya maboresho ya kikosi kuelekea msimu mpya wa mashindano 2023/24 leo tumefanikiwa kuipata saini ya mlinzi wa kati Hussein Kazi kwa mkataba wa
Abdallah Hamisi ni Mnyama
Kiungo mkabaji, Abdallah Hamisi amejiunga na kikosi chetu kwa mkataba wa miaka miwili akiwa mchezaji huru. Abdallah anakuja kwenye kikosi chetu kuungana na Sadio Kanoute,