read

news & Articles

Tupo tayari kwa fainali Ngao ya Jamii

Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa CCM Mkwakwani kuikabili Yanga kwenye mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii. Kikosi kimefanya mazoezi

Lakred ni Mnyama

Mlinda mlango, Ayoub Lakred (28) raia wa Morocco amejiunga na kikosi chetu kutoka FAR Rabat kwa mkataba wa miaka miwili. Lakred ambaye ni mlinda mlango

Robertinho asema lolote linawezekana kwenye Derby

Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema mchezo wa ‘Deby’ hautabiliki na lolote linawezekana lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda kesho. Robertinho amesema Simba ni timu kubwa na

Robertinho: Timu bora uwanjani imeshinda

Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema tulikuwa bora zaidi ya Singida Fountain Gate na tumestahili kushinda ingawa ilikuwa kwa penati. Robertinho amesema tulikuwa bora maeneo

Tumetinga Fainali Ngao ya Jamii

Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga fainali ya Ngao ya Jamii baada ya kuifunga Singida Fountain Gate kwa mikwaju ya penati 4-2 katika mchezo uliofanyika Uwanja wa

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC