read
news & Articles
Tupo tayari kwa fainali Ngao ya Jamii
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa CCM Mkwakwani kuikabili Yanga kwenye mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii. Kikosi kimefanya mazoezi
Timu yafanya mazoezi ya mwisho tayari kwa Derby
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Kituo cha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) jioni tayari kwa mchezo wa Fainali ya Ngao ya Jamii dhidi
Lakred ni Mnyama
Mlinda mlango, Ayoub Lakred (28) raia wa Morocco amejiunga na kikosi chetu kutoka FAR Rabat kwa mkataba wa miaka miwili. Lakred ambaye ni mlinda mlango
Robertinho asema lolote linawezekana kwenye Derby
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema mchezo wa ‘Deby’ hautabiliki na lolote linawezekana lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda kesho. Robertinho amesema Simba ni timu kubwa na
Robertinho: Timu bora uwanjani imeshinda
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema tulikuwa bora zaidi ya Singida Fountain Gate na tumestahili kushinda ingawa ilikuwa kwa penati. Robertinho amesema tulikuwa bora maeneo
Tumetinga Fainali Ngao ya Jamii
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga fainali ya Ngao ya Jamii baada ya kuifunga Singida Fountain Gate kwa mikwaju ya penati 4-2 katika mchezo uliofanyika Uwanja wa