read
news & Articles
Alichosema Robertinho baada ya ushindi dhidi ya Mtibwa
Kocha Mkuu Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema anaendelea kufanya mabadiliko ya kikosi mara kwa mara ili wachezaji waendelee kuzoeana. Robertinho amesema katika mchezo wa leo dhidi
Tumeondoka na alama zote Manungu
Tumefanikiwa kupata alama zote tatu katika mchezo wetu wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC baada ya kuichapa Mtibwa Sugar mabao 4-2 katika mtanange uliopigwa
Kikosi kilichopangwa kuikabili Mtibwa Sugar
Kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Manungu Complex saa 10 jioni kuikabili Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Mkuu
Leo tunaanza safari ya NBCPL 2023/24
Kikosi chetu leo kinaanza kampeni ya kuhakikisha tunapambana kwa kila hali kupata alama tatu katika Uwanja wa Manungu Complex. Leo tutakuwa wageni wa ‘Wakata Miwa’
Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na Mtibwa
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Highland Morogoro kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa Sugar
Kauli ya Robertinho kuelekea mchezo dhidi ya Mtibwa Kesho
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema malengo yetu kwenye mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa Sugar ni kucheza soka safi