read
news & Articles
Tumechukua pointi zote za Dodoma
Kikosi chetu kimefanikiwa kuondoka na pointi zote tatu baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu
Kikosi kilichopangwa dhidi ya Dodoma Jiji
Muda mchache ujao kikosi kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Uhuru kuikabili Dodoma Jiji kwenye mchezo wa pili wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Mkuu,
Tuna kibarua cha pili Uhuru Leo
Saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam kuikabili Dodoma Jiji kwenye mchezo wa pili wa Ligi Kuu ya NBC.
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena kujiandaa na Dodoma
Kikosi chetu leo jioni kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi
Robertinho: Tupo tayari kwa Dodoma Jiji Kesho
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa pili wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji
VIDEO: Dk. Kagabo aelezea hali za majeruhi Inonga, Kramo
Daktari wa timu, Edwin Kagabo amesema hali za wachezaji wetu majeruhi mlinzi wa kati Henock Inonga na winga Aubin Kramo zinaendelea vizuri. Inonga amepata majeraha