read
news & Articles

Nyota wetu watano waitwa timu za Taifa
Wachezaji wetu watano wameitwa kwenye timu zao Taifa zinazojiandaa na michuano mipya ya FIFA Series 2024 itakayofanyika nchini Azerbaijan. Nyota wanne wameitwa katika timu ya

Tumezipata Pointi za Singida Fountain Gate
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Fountain Gate uliopigwa Uwanja wa Azam Complex umemalizika kwa kufanikiwa kupata ushindi wa mabao 3-1.

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Singida FG Leo
Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Hiki

Tumepangwa na Ahly Robo Fainali Mabingwa Afrika
Droo ya hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imekakilmilika na tumepangwa na miamba ya soka Al Ahly kutoka Misri. Mchezo wa mkondo

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida

Kauli ya Kocha Matola kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Singida FG
Kocha Msaidizi Seleman Matola amesema kikosi chetu kipo tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Fountain Gate utakaopigwa kesho
