Chama amesema jambo la kwanza kwa kila mchezaji ni kuisadia timu yake kupata matokeo na ndicho alichofanya huku akisema timu kubwa inatakiwa kuwa na muendelezo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Chama amezungumzia mchezo ujao dhidi ya Namungo.
Chama amesema jambo la kwanza kwa kila mchezaji ni kuisadia timu yake kupata matokeo na ndicho alichofanya huku akisema timu kubwa inatakiwa kuwa na muendelezo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Chama amezungumzia mchezo ujao dhidi ya Namungo.