Ahmed amesema kwa jinsi kikosi kilivyokuwa kimepangwa hautegemei kuona kikifanya vizuri lakini wachezaji wamepambana hadi mwisho kuona timu inatinga nusu fainali.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amechambua viwango vya mchezaji mmoja mmoja huku pia akigusia mchezo wetu wa nusu fainali dhidi ya Mafunzo.