read
news & Articles

Fadlu: Hatuna Presha na Dabi ya Karikakoo Kesho
Kocha Mkuu, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wa kesho wa Ngao ya Jamii dhidi ya watani wa jadi Yanga hatuna presha na tupo

Uongozi wakutana na benchi la ufundi na wachezaji
Uongozi wa klabu ukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Crescentius Magori na na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Klabu, Murtaza

Hizi hapa namba za jezi za wachezaji wetu 2025/2026
Leo ndio kilele cha Simba Day ambapo tunakitambulisha kikosi chetu ambacho tutakitumia katika mashindano yote tutakayoshiriki kwenye msimu mpya wa mashindano 2025/2026. Kuna wachezaji wapya

Semaji alivyotinga Lupaso, na alivyoshusha Vyuma
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally ameingia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa staili tofauti kabla ya kuanza kukitambulisha mbele ya mashabiki kikosi

Mbosso apagawisha Simba Day kwa Mkapa
Msanii wa Bongo Fleva, Mbosso amewapagawisha maelfu ya mashabiki wetu waliojitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye kilele cha Tamasha la Simba Day.

Mh. Aweso: Simba Day hii haijawahi kutokea
Mgeni Rasmi, Waziri wa Maji, Mh. Jumaa Aweso ameusifu Uongozi wa klabu kwa kuandaa Tamasha bora la Simba Day ambalo haijawahi kutokea kabla. Mh. Aweso