Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Alichosema kocha Barker baada ya ushindi dhidi ya Fountain Gate

15 Apr 2026

Kocha Barker amesema malengo yalikuwa kupata alama tisa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid lakini tumepata saba kiti ambacho sio kibaya.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Barker amezungumzia pia mchezo ujao dhidi ya Namungo.

Advertisement
Back to homepage
Share this story