Baada ya makubaliano ya pande mbili tumeachana rasmi na kiungo wetu Allasane Kante hivyo hatakuwa sehemu ya kikosi chetu kwa msimu wa 26/2027
Kante (26) raia wa Senegal alijiunga nasi Julai 25/2026 kutoka Athlétique Bizertin ya Tunisia kwa mkataba wa miaka miwili.
Uongozi wa klabu unamtakia kila la heri Kante katika maisha yake mapya nje Simba.