Simba Sports Club
News

Timu yaondoka kuelekea Zanzibar

22 Apr 2026

Baada ya kufika Zanzibar kikosi kitafanya mazoezi ya mwisho jioni kujiweka sawa kabla ya kesho kushuka dimbani.

Mchezo dhidi ya Mafunzo utapigwa kesho saa 2:30 usiku katika Uwanja wa New Amaan kuikabili Mafunzo FC.

Advertisement
Back to homepage
Share this story