read
news & Articles
Timu yatua salama Marrakech
Kikosi chetu kimewasili salama katika mji wa Marrakech nchini Morocco tayari kwa mchezo wa tatu wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca utakaopigwa
Tumechangia Wahanga wa mafuriko Hanang
Klabu yetu leo imekabidhi msaada kwa ajili ya wahanga wa mafuriko na maporomoko yalitokea katika Wilaya ya Hanang mkoani Manyara mwishoni mwa juma lililopita. Mwenyekiti
VIDEO: Timu yaanza safari kuelekea Morocco
Kikosi chetu kimeanza safari ya kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya mchezo wa tatu wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika dhidi ya Wydad Casablanca utakaopigwa
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kabla ya kuanza safari mchana kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya mchezo wa
Timu kurejea mazoezini leo
Kikosi chetu leo jioni kitarejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa tatu wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco
Benchikha: Tulistahili pointi tatu
Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amesema katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy uliopigwa Uwanja wa Obeid Ituni Chilume tulistahili kupata alama