read
news & Articles
Tumezipata Pointi za Singida Fountain Gate
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Fountain Gate uliopigwa Uwanja wa Azam Complex umemalizika kwa kufanikiwa kupata ushindi wa mabao 3-1.
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Singida FG Leo
Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Hiki
Tumepangwa na Ahly Robo Fainali Mabingwa Afrika
Droo ya hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imekakilmilika na tumepangwa na miamba ya soka Al Ahly kutoka Misri. Mchezo wa mkondo
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida
Kauli ya Kocha Matola kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Singida FG
Kocha Msaidizi Seleman Matola amesema kikosi chetu kipo tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Fountain Gate utakaopigwa kesho
Timu yarejea salama Dar es Salaam
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam usiku huu kutoka Tanga baada ya mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal