read
news & Articles

Preview: Mchezo wetu dhidi ya Horoya
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Horoya kutoka Guinea katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika

Manula Mchezaji bora wa Mwaka BMT
Mlinda mlango, Aishi Manula amechaguliwa mchezaji bora wa mwaka katika hafla ya tuzo zinazotolewa na Baraza la Michezo Tanzania (BMT). Manula amewapiku walinzi Mohamed Hussein

Timu yafanya Mazoezi ya mwisho kwa Mkapa
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho leo asubuhi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kujiandaa na mchezo wa kesho wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika

Sakho aitwa timu ya Taifa ya Senegal
Kiungo mshambuliaji, Pape Sakho amejumuishwa katika kikosi cha wachezaji 24 cha timu ya taifa ya Senegal ‘Simba wa Terenga’ kitachocheza mechi mbili za kufuzu michuano

Robertinho: Lengo letu ni moja tu kufuzu Robo Fainali Mabingwa Afrika
Kocha mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ameweka wazi kuwa lengo ni moja kupata ushindi katika mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya

Ahmed ataja sababu za hamasa kufanyika Chanika
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amewaambia wapenzi na wanachama wa Chanika Msumbiji kuwa tumekuja huku kutokana na umuhimu wa mchezo wetu wa
