read
news & Articles
Tumepata pointi tatu za Coastal
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union uliopigwa Uwanja wa Mkwakwani umemalizika kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1. Freddy Michael
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Coastal Leo
Kikosi chetu leo saa 12 kitashuka katika Uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga kuikabili Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Hiki hapa
Leo tupo Mkwakwani kuikabili Coastal
Leo saa 12 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa CCM Mkwakwani kuikabili Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia kwenye mchezo
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mkwakwani
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal
Timu yafanya mazoezi ya utimamu kabla kuanza safari kuelekea Tanga
Kikosi kimefanya mazoezi ya utimamu wa mwili saa tatu asubuhi kabla ya kuanza safari ya kuelekea jijini Tanga tayari kwa mchezo dhidi ya Coastal Union
Tumepoteza dhidi ya Tanzania Prisons Jamhuri
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons umemalizika kwa kupoteza kwa mabao 2-1 mtanange uliopigwa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.