read
news & Articles
Robertinho: Tumejipanga kuingia hatua ya makundi kesho
Licha ya kutegemea kupata upinzani mkubwa kutoka kwa Power Dynamos katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa kesho Azam Complex saa 10
CAF yazipitisha Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa AFCON 2027
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limezipitisha nchi za Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa Fainali za AFCON mwaka 2027. Nchi hizo za Afrika Mashariki zimeamua
Ahmed: Power Dynamos wanatua kesho
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema wapinzani wetu Power Dynamos kutoka Zambia wanatarajia kuwasili nchini kesho saa 12 jioni. Ahmed amesema msafara
Ahmed awaomba mashabiki kununua tiketi za Jumapili mapema
Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amewaomba mashabiki kununua tiketi mapema za mchezo wetu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos
Tumepata ushindi dhidi ya Pan African
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Pan African katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Mo Simba Arena. Mchezo huu
Timu yarejea mazoezini kujiandaa na Power Dynamos
Kikosi chetu kimeanza mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos utakaopigwa Jumapili katika Uwanja wa Azam