read
news & Articles

Ateba aanza mazoezi rasmi na wenzake
Mshambuliaji mpya Leonel Ateba amefanya mazoezi jioni pamoja na wenzake ikiwa ni mara yake ya kwanza tangu ajiunge na kikosi chetu. Ateba amefanyiwa vipimo vya

Leonel Ateba ni Mnyama
Mshambuliaji Leonel Ateba amejiunga na kikosi chetu kutoka USM Alger ya Algeria kwa mkataba wa miaka miwili. Ateba ambaye ana umri wa miaka 25 raia

VIDEO: Kikosi chafanya mazoezi ya Uwanjani
Baada ya Mazoezi ya Gym asubuhi jioni kikosi chetu kimefanya mazoezi ya uwanjani katika dimba la Abebe Bikila. Uwanja wa Abebe Bikila ndio tutautumia kucheza

Willy Onana amejiunga na Al Hilal Benghazi
Klabu yetu imemuuza kiungo mshambuliaji wake Andre Willy Esomba Onana kwenda klabu ya Al Hilal Benghazi ya Libya. Onana alijunga nasi msimu uliopita kwa mkataba

Simba Queens yapokelewa vizuri Ethiopia
Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia umeipokea timu yetu ya Simba Queens ambayo imewasili kwa ajili ya kushiriki michuano ya Mabingwa Ukanda wa Afrika Mashariki na

Simba Queens yapaa kuelekea Ethiopia
Kikosi chetu cha Simba Queens kimeondoka nchini kuelekea Ethiopia kwa ajili ya kushiriki michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA). Simba Queens imeondoka na kikosi