read
news & Articles


VIDEO: Kauli ya Kocha Fadlu baada ya ushindi dhidi ya APR
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema licha ya ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi ya APR kwenye kilele cha Simba Day lakini bado miili ya wachezaji

Tumepata Ushindi Kilele cha Simba Day
Mchezo wetu wa kirafiki wa kilele cha Simba Day dhidi ya APR uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Tumetambulisha kikosi chetu cha Msimu wa 2024/25
Leo katika kilele cha Simba Day tumetambulisha kikosi chetu tukakachokitumia katika michuano mbalimbali katika msimu wa mashindano 2024/25. Hiki hapa kikosi chetu Makipa 1. Ally

Rais Samia atuma salamu za pongezi za Simba Day
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pongezi kwa Wanasimba wote kwa kufanikisha Tamasha bora la Simba Day

Queens yaichakaza Mlandizi Simba Day
Kikosi chetu cha Simba Queens kimefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 7-0 dhidi ya Mlandizi Queens katika mchezo wa kirafiki wa ufunguzi wa Simba
