read
news & Articles

Tunaanza kutupa karata ya kwanza Kombe la Shirikisho Afrika
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Bravos Do Marquis kutoka Angola katika mchezo wa kwanza wa Kombe la

Tumejipanga kuanza vizuri Kombe la Shirikisho
Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema licha ya ubora na ugumu wa wapinzani wetu Bravo Do Marquis kutoka Angola lakini tumejipanga kuhakikisha tunaanza vizuri michuano ya

Tumefanikiwa kupata alama tatu ugenini
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Pamba Jiji uliopigwa katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza umemalizika kwa ushindi wa bao moja.

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Pamba Jiji
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kuikabili Pamba Jiji katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha

Leo tupo Kirumba kuikabili Pamba Jiji
Saa 10 jioni ya leo kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kuikabili Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.

Fadlu: Tupo tayari kwa ajili ya Pamba Jiji Kesho
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Pamba Jiji yamekamilika na wachezaji wapo tayari kuhakikisha
