read
news & Articles

SportPesa yamwaga mamilioni Simba
Kampuni ya SportPesa imeipa Klabu ya Simba fedha taslimu Sh 50,000,000 ikiwa ni bonasi baada ya kufanikiwa kufika hatua ya Robo Fainali ya michuano ya

Simba yaifuata Azam Nusu Fainali ASFC
Ushindi wa mabao 3-0 tuliopata dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo uliopigwa leo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa umetufanya kutinga Nusu Fainali ya michuano ya

Bocco kuongoza mashambulizi dhidi ya Dodoma Jiji Leo
Nahodha John Bocco amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa Robo Fainali ya Michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigwa

Bocco mchezaji bora wa wiki Afrika
Nahodha John Bocco ameibuka mchezaji bora wa wiki wa Ligi ya Mabingwa Afrika katika ya hatua ya Robo Fainali. Bocco ameibuka kidedea baada ya kuonyesha

Simba yafanya mazoezi ya mwisho kabla ya kuivaa Dodoma Kesho
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo wa kesho wa Robo Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Dodoma Jiji

Onyango, Taddeo warejea mazoezini
Mlinzi wa kati Joash Onyango na kiungo mkabaji Taddeo Lwanga, wamerejea mazoezini baada ya hali zao kiafya kutengemaa kutokana na majeraha waliyopata kwenye mchezo wetu
