read
news & Articles

Miquissone akabidhiwa tuzo yake ya mwezi Machi
Kiungo mshambuliaji, Luis Miquissone amekabidhiwa tuzo yake ya mchezaji bora wa Ligi Kuu wa mwezi Machi. Tuzo hiyo alikakabidhiwa jana Jumanne Aprili 27 kabla ya

Simba mwendo ule ule⦠yailaza na viatu Dodoma
Kikosi chetu kimeendeleza wimbi la ushindi katika michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuichakaza Dodoma Jiji mabao 3-1 katika mtanange uliopigwa Uwanja wa

Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi ya Dodoma leo, Luis, Wawa ndani
Mshambuliaji Chris Mugalu amepewa jukumu la kuongoza mashambulizi katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu utakaochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku. Moja ya

Baada ya dozi za Kanda ya Ziwa, Leo zamu ya Dodoma
Baada ya kumaliza mechi tatu mfululizo za Kanda ya Ziwa nakupata alama zote tisa, kikosi chetu leo kitashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja

Miquissone, Wawa warejea kuivaa Dodoma Jiji
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema kiungo mshambuliaji Luis Miquissone na mlinzi wa kati Pascal Wawa, watakuwepo kwenye mchezo wa kesho wa Ligi Kuu dhidi ya

Zimbwe Jr ataja sababu ugumu wa mechi dhidi ya Gwambina
Mfungaji wa bao pekee katika mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya Vodacom dhidi ya Gwambina FC, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Jr’ amesema mazingira ya Uwanja
