read
news & Articles

Morrison mchezaji bora Simba
Kiungo mshambuliaji Bernard Morrison, amechaguliwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Mwezi Juni (Emirate Aluminium Simba Fans Player of the Month). Morrison raia wa Ghana amewashinda

Tupo tayari kwa ‘battle’ Jumamosi
Kikosi chetu kiko tayari kwa ajili ya mchezo wa watani wa jadi Yanga utakaofanyika Jumamosi Julai 3, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11 jioni.

Mugalu arejea Simba ikijiwinda na mtani
Mshambuliaji wetu Chris Mugalu amefanya mazoezi pamoja na wenzake leo jioni baada ya kupona majeraha yaliyokuwa yanamsumbua. Mugalu alikosa baadhi ya mechi zilizopita za hivi

Simba kambini kuivutia kasi Yanga
Kikosi chetu leo kinaingia kambini kwa ajili ya kujiandaa na mchezo ujao wa ligi kuu dhidi ya watani wetu wa jadi Yanga. Mechi hiyo itakayochezwa

Morrison, Miquissone, Bocco mchuano mkali Tuzo ya Mchezaji Bora
Nyota watatu Bernard Morrison, Luis Miquissone na John Bocco wameingia fainali ya kumsaka Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Mwezi Juni (Emirate Aluminium Simba Fans Player

Gomes awamwagia sifa wachezaji baada ya ushindi dhidi ya Azam
Baada ya kufanikiwa kutinga Fainali ya Michuano ya Azam Sports Federation Cup kwa kuifunga Azam FC bao moja, Kocha Mkuu Didier Gomes amesema anakiamini kikosi