read
news & Articles

Kikosi cha Simba Queens kilichopangwa kuikabili Ceasiaa Queens
Simba Queens itashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Ceasiaa Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) saa 10 jioni. Queens itaingia

Kapombe afunguka maana ya staili yake ya kushangilia
Mlinzi wa kulia, Shomari Kapombe amesema aina yake ya kushangilia baada ya kufunga bao la tatu ni ‘kuwazodoa’ waliokuwa wakishangilia jana kufuatia kuongoza ligi kwa

Tumerejea Kileleni mwa msimamo wa NBCPL kwa kishindo
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa katika Uwanja wa Ali

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Tabora United Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa AlI Hassan Mwinyi kuikabili Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC tukiwa tunaanza

Tunaanza Mzunguko wa pili wa Ligi dhidi ya Tabora Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mkoani Tabora kuikabili Tabora United katika mchezo wa kwanza wa mzunguko wa

Simba yaichakaza bila huruma Yanga Bunge Bonanza
Timu ya Wabunge mashabiki wa Simba imefanikiwa kuibuka na ushindi mabao 4-0 dhidi ya mashabiki wa Yanga katika Bunge Bonanza likilofanyika katika Uwanja wa Shule