read
news & Articles

Rasmi Simba Day kufanyika Septemba 10 kwa Mkapa
Tamasha letu la Simba Day mwaka huu litafanyika Jumatano ya Septemba 10 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Simba Day hufanyika Agosti 8

Timu yahamishia kambi jijini Cairo
Baada ya kuweka kambi kwa siku 15 katika mji wa Ismailia kikosi chetu leo kimehamia jijini Cairo kuendelea na maandalizi ya msimu mpya wa mashindano

VIDEO: Morice Abraham afunguka kuhusu kambi ya maandalizi nchini Misri
Kiungo mshambuliaji, Morice Abraham amesema maandalizi ya msimu mpya wa mashindano yanayoendelea nchini Misri yanazidi kuwafanya wachezaji kuzidi kuzoeana. Morice amesema maandalizi ni mazuri na

VIDEO: Kocha Fadlu awazungumzia Gaborone United
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema wapinzani wetu Gaborone United kutoka Botswana tuliopangwa nao katika hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika sio timu ndogo

VIDEO: Timu yaendelea na mazoezi
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi ya uwanjani kujiandaa na msimu mpya wa mashindano 2025/2026 kikiwa kambini nchini Misri. Mlinzi mpya wa kushoto Anthony Mligo nae

Tumepangwa na Gaborone United Ligi ya Mabingwa Afrika
Droo ya hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imekamilika na tumepangwa na Gaborone United kutoka Botswana. Mchezo wa mkondo kwanza utapigwa Septemba 19-21