read
news & Articles

Fetty Densa kuiongoza Simba Queens kuikabili Lady Doves
Mlinzi wa kushoto, Fatuma Issa ‘Fetty Densa’ leo atakiongoza kikosi cha Simba Queens katika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa michuano ya Caf Women’s

Nyota Simba Queens na matumaini kibao kuelekea Nusu Fainali Kesho
Wachezaji wetu wa timu ya Wanawake ya Simba Queens wamejawa na matumaini makubwa ya kushinda na kutinga nusu fainali ya michuano ya Caf Women’s Champions

Simba kamili kuanzia kesho
Wachezaji wote wa Simba waliokuwa kwenye timu mbalimbali za taifa wanatarajiwa kuanza kurejea nchini na kuingia kambini kufikia hadi kufikia kesho Alhamisi Septemba 9. Kwa

Simba Queens uso kwa uso tena na Lady Doves mshindi wa tatu
Kikosi cha timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens itakutana na Lady Doves katika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa michuano ya Caf Women’s

Ni Simba VS TP Mazembe Simba Day
Katika kuadhimisha kilele cha Tamasha kubwa la Simba Day, timu yetu itacheza na mabingwa mara tano wa Ligi ya Mabingwa Afrika TP Mazembe kutoka Jamhuri

Simba Queens yatolewa michuano ya Cecafa
Kikosi chetu cha Timu ya Wanawake Simba Queens imetolewa kwenye Michuano ya Caf Women’s Champions League Cecafa Qualifiers 2021 baada ya kufungwa mabao 2-1 dhidi
