read
news & Articles

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya CS Sfaxien
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili CS Sfaxien kutoka Tunisia katika mchezo wa tatu wa hatua ya makundi

Tupo tayari kuikabili CS Sfaxien Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili CS Sfaxien kutoka Tunisia katika mchezo wa tatu wa hatua ya makundi

VIDEO: Kauli ya Kocha Fadlu kuelekea mchezo dhidi ya CS Sfaxien
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Sfaxien utakuwa mgumu lakini tumejiandaa kuhakikisha tunashinda hasa ukizingatia

Droo ya Simba University Bonanza yakamilika Crown Media
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally ameongoza zoezi la upangaji wa Droo la Simba University Bonanza ambalo litakutanisha wanachuo kutoka vyuo mbalimbali jijini

VIDEO: Ahmed azungumzia hali ya kikosi kuelekea mchezo dhidi ya CS Sfaxien
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema kikosi chetu kipo kwenye hali nzuri kuelekea mchezo wetu wa tatu wa hatua ya makundi ya

Mchezo dhidi ya JKT kupigwa Disemba 24
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeupangia tarehe mchezo wetu namba 79 dhidi ya Maafande wa JKT Tanzania ambao sasa utapigwa Disemba 14 katika Uwanja
