read
news & Articles

Timu kurejea mazoezini kesho kujiandaa na Namungo
Baada ya mchezo dhidi ya Dodoma Jiji kuahirishwa wachezaji walipewa mapumziko mafupi na kesho kikosi kitarejea mazoezini kujiandaa na mchezo unaofuata. Mchezo dhidi ya Dodoma

Bodi ya Ligi yaahirisha mchezo dhidi ya Dodoma Jiji
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania TPLB imeahirisha mchezo wetu dhidi ya Dodoma Jiji ambao ulipangwa kuchezwa Jumamosi, Februari 15 katika Uwanja wa KMC Complex. Sababu

Tumerejea Kileleni mwa Msimamo wa NBCPL
Ushindi wa mabao 3-0 tuliopata dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo uliopigwa Uwanja wa KMC Complex umetufanya kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Tanzania Prisons
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Fadlu Davids

Tupo tayari kuikabili Tanzania Prisons Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Mchezo dhidi ya

Alichosema Kocha Fadlu kuelekea mchezo dhidi ya Tanzania Prisons
Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema tutaingia na mipango ile ile katika mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons lengo likiwa