read
news & Articles

Simba yaja na ‘Its not Over, Kazi Iendelee’
Kuelekea mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy utakaopigwa Jumapili Uwanja wa Benjamin Mkapa tumekuja na slogan ya ‘Its Not

Simba kuingia kambini leo kuivutia kasi Jwaneng Galaxy
Kikosi chetu kitaingia kambini baada ya mazoezi ya leo jioni tayari kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy

Magori: Hatujafanyiwa figisu nchini Botswana
Mshauri wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu, Crescentius Magori amesema hatujafanyiwa hujuma yoyote katika mchezo wetu wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika

Buku tano kuziona Simba, Jwaneng
Kiingilio cha chini katika mchezo wetu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya kwanza dhidi ya Jwaneng Galaxy kimepangwa kuwa Sh 5,000 kwa

Taddeo aeleza furaha ya kufunga kwenye michuano mikubwa
Kiungo mkabaji Taddeo Lwanga, ameweka wazi furaha yake ya kufunga bao muhimu kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika katika ushindi wa 2-0 dhidi ya

Gomes atoboa siri ya ushindi ugenini
Kocha Mkuu Didier Gomes, ameweka wazi kuwa benchi la ufundi liliwaelekeza wachezaji kucheza kwa nidhamu na kutumia nafasi zitakazopatikana ili kupata ushindi ugenini na jambo
