read
news & Articles

Mzamiru, Kanoute kuikosa Namungo kesho
Viungo wetu wakabaji Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute hawatakuwa sehemu ya mchezo wetu wa kesho wa Ligi ya NBC dhidi ya Namungo FC utakaopigwa Uwanja

Kanoute, Bwalya, Dilunga wachuana Mchezaji Bora Simba
Nyota watatu wameingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Oktoba wa mashabiki ya Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month.

Sebastian Nkoma kocha mpya Simba Queens
Kikosi chetu cha Timu ya Wanawake ya Simba Queens, kitakuwa chini ya kocha mzoefu Sebastian Nkoma ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili kukinoa. Nkoma ambaye

Nyota wetu tisa waitwa Stars
Wachezaji tisa katika kikosi chetu wameitwa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa ajili ya mechi za kufuzu Fainali za Kombe la Dunia ambazo

Simba Queens kurejea mazoezini leo kujiandaa na ligi
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens leo itaanza mazoezi rasmi kujiandaa na Ligi Kuu ‘Serengeti Lite Women’s Premier League’ ambayo inatarajia kuanza Novemba 13.

Simba, Coastal hakuna mbabe
Mchezo wetu Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa sare ya bila kufungana katika mechi ambayo ilikuwa
