read
news & Articles
Simba kamili kuivaa Mtibwa
Kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kocha Msaidizi Selemani Matola amesema kikosi kipo kamili hakuna mchezaji atakayekosekana kutokana na kuwa
Simba kambini kuivutia kasi Mtibwa
Baada ya kumaliza mchezo wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi, hatimaye kikosi chetu kimeingia kambini leo kujiandaa na mchezo wa Ligi
Onyango autaka ubingwa VPL, azungumzia Robo Fainali Afrika
Mlinzi wa kati Joash Onyango ameweka wazi kuwa kitu pekee kilichopo vichwani mwa wachezaji kwa sasa ni kutetea taji la Ligi Kuu ya Vodacom na
Gomez: Macho yote sasa Ligi Kuu
Muda mfupi baada ya timu kurejea nchini kutoka Misri ilipokuwa na mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika jana dhidi
Wametufunga lakini ‘shughuli’ wameiona
Pamoja na kupoteza mchezo wa leo kwa bao moja dhidi ya Al Ahly, wachezaji wetu wamepambana muda wote na kuonyesha upinzani mkubwa. Mchezo huo ulikuwa
Kagere kuongoza mashambulizi dhidi ya Al Ahly, Nyoni kuanza
Mshambuliaji kinara Medie Kagere ataongoza mashambulizi kwenye mchezo wetu wa mwisho wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji Al Ahly