read
news & Articles

Simba Queens yashusha straika Mkongo
Zikiwa zimebaki siku tatu kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) kikosi chetu cha Simba Queens kimeshusha mshambuliaji mahiri

Nyota Simba Queens afunguka kuelekea msimu mpya
Kiungo mshambuliaji wa Simba Queens, Joelle Bukulu amefunguka kuwa maandalizi kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa Ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) yanaendelea

Mechi yetu dhidi ya Kagera imeahirishwa
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar ambao ulipangwa kuchezwa leo katika Uwanja wa Kaitaba umeahirishwa kutokana na wachezaji wetu kuumwa.

Kampeni ujenzi wa uwanja yazinduliwa
Klabu yetu leo imezindua rasmi kampeni ya kuchangisha fedha za kujenga uwanja wetu wa kisasa kwa ajili ya mechi zetu za nyumbani. Wikiendi iliyopita Rais

Matola: Robo tatu ya wachezaji wanaumwa
Kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC, Kocha Msaidizi Seleman Matola amesema asilimia kubwa ya wachezaji pamoja na benchi la ufundi lililosafiri kuja

Alichokisema Kapombe kabla ya kupaa kuelekea Kagera
Mlinzi wa kulia Shomari Kapombe, amesema maandalizi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Jumamosi katika Uwanja wa Kaitaba yanaendelea
