read
news & Articles

Simba Queens yaendeleza ubabe, yaipiga Oysterbay Girls ‘8 O’clock’
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens imeendelea kutoa vipigo vikali baada ya kuichakaza bila huruma Oysterbay Girls mabao 8-0 katika mwendelezo wa Serengeti Lite

Simba Queens yaingia kambini kujiandaa na Oysterbay
Kikosi cha timu yetu Wanawake Simba Queens, leo kimeingia kambini kujiandaa na mchezo wa pili wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League)

Kikosi chatua salama Dar
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam kutoka mkoani Tabora baada ya mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC uliopigwa

Pablo awasifu wachezaji ushindi wa KMC
Kocha Mkuu Pablo Franco, amewasifu wachezaji wetu kwa jinsi walivyojituma na kufanikiwa kupata ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya KMC katika mchezo uliopigwa Uwanja

Simba yatoa zawadi ya Christmas kwa mashabiki
Kikosi chetu kimetoa zawadi ya Christmas kwa wapenzi na mashabiki wetu ndivyo unavyoweza kusema baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya KMC kwenye mchezo

Kagere, Kibu kuongoza mashambulizi dhidi ya KMC
Medie Kagere na Kibu Denis wamepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa leo katika Uwanja
