read
news & Articles

Timu yaanza safari kurejea nyumbani, kutua Dar kesho mchana
Kikosi chetu kimeanza safari ya kurejea nyumbani baada ya kumaliza mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika hatua ya makundi dhidi ya RS Berkane uliopigwa

Kapombe, Banda, Henock kuchuana mchezaji bora Februari
Wachezaji watatu Shomari Kapombe, Peter Banda na Henock Inonga wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha kumtafuta mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Februari (Emirate Aluminium Simba

Alichosema Pablo baada ya mechi ya jana
Baada ya kupoteza kwa mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika, Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema kwa sasa tunaweka

Tumepoteza pointi tatu ugenini
Kikosi chetu kimepoteza pointi tatu muhimu ugenini baada ya kufungwa mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliofanyika Uwanja

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya RS Berkane leo
Kocha Mkuu Pablo Franco, leo atawaanzisha viungo watatu wakabaji katika mchezo wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane utakaopigiwa saa nne usiku

Tunaingia uwanjani kuikabili Berkane leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Manispaa ya Berkane kuikabili RS Berkane katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi ambao utaanza
