read
news & Articles

Timu kuingia kambini kesho
Kikosi chetu kitaingia kambini kesho mchana kuanza maandalizi ya mchezo wetu wa mwisho wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US

CAF yaruhusu mashabiki 35,000 mchezo dhidi ya USGN
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeruhusu idadi ya mashabiki 35,000 katika mchezo wetu wa mwisho wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika

Hivi hapa viingilio vya mchezo wetu dhidi ya USGN
Uongozi wa klabu umetangaza viingilio vya mchezo wetu wa mwisho wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jumapili Aprili 3, mwaka huu.

Kapombe, Sakho, Banda wachuana mchezaji bora Machi
Nyota watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Nyota hao

Lengo lilikuwa kufuzu ugeniniā¦
Wakati timu inaondoka kuelekea Benin kwa ajili ya mchezo wetu wa tano hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas, tulikuwa

Bocco aomba radhi kwa mashabiki, viongozi
Nahodha wa timu John Bocco, ameomba radhi kwa mashabiki na viongozi kwa kukubali kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa ASEC Mimosas katika mchezo wa tano
