Timu yarejea salama Dar

Kikosi chetu kimerejea salama jijini Dar es Salaam usiku huu kutoka nchini Afrika Kusini baada ya kumaliza ratiba ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika jana.

Kikosi kilianza safari ya kurejea nyumbani kutoka Afrika Kusini mchana na kimetua salama nyumbani kwa ratiba nyingine.

Baada ya kutolewa na Orlando Pirates kwa mikwaju ya penati sasa tunaelekeza nguvu katika michuano ya Ligi Kuu pamoja na Azam Sports Federation Cup huku tukijiandaa na maandalizi ya mchezo wetu wa Derby wikiendi ijayo mara moja.

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER