read
news & Articles
Simba kupaa jioni kuifuata Biashara Mara
Kikosi chetu leo saa 12 jioni kitasafiri kwa ndege kuelekea jijini Mwanza kabla ya kwenda Mara tayari kwa mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu dhidi
Haikuwa bahati yetu
Kikosi chetu kimepoteza kwa bao moja dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ngao ya Jamii ikiwa ni kiashiria cha kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu
Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi ya Yanga, Sakho Kanoute ndani
Mshambuliaji Chris Mugalu amepangwa kuongoza mashambulizi dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga leo ambao utaanza saa 11 jioni katika
Simba wakali Ngao ya Jamii
Leo saa 11 jioni tutashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kucheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga huku tukiwa na historia ya kuchukua
Simba kamili kuivaa Yanga kesho
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya mwisho kabla ya kuivaa Yanga kesho katika mchezo wa Ngao ya Jamii utakaofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11
Simba yasaini mkataba na Africarriers wa mabasi ya kisasa
Klabu yetu imesaini mkataba wa miaka minne na Kampuni ya uuzaji na ukodishaji magari ya Africarriers kwa ajili ya kuzisafirisha timu zetu ikiwamo ya wakubwa,