read
news & Articles
Tumejipanga kurejesha hali ya kujiamini kwa Namungo
Baada ya kupitia kipindi kigumu cha kutopata matokeo tunayoyatarajia tumejipanga kuhakikisha tunaibuka na ushindi dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC
Mzamiru, Kanoute kuikosa Namungo kesho
Viungo wetu wakabaji Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute hawatakuwa sehemu ya mchezo wetu wa kesho wa Ligi ya NBC dhidi ya Namungo FC utakaopigwa Uwanja
Kanoute, Bwalya, Dilunga wachuana Mchezaji Bora Simba
Nyota watatu wameingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Oktoba wa mashabiki ya Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month.
Sebastian Nkoma kocha mpya Simba Queens
Kikosi chetu cha Timu ya Wanawake ya Simba Queens, kitakuwa chini ya kocha mzoefu Sebastian Nkoma ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili kukinoa. Nkoma ambaye
Nyota wetu tisa waitwa Stars
Wachezaji tisa katika kikosi chetu wameitwa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa ajili ya mechi za kufuzu Fainali za Kombe la Dunia ambazo
Simba Queens kurejea mazoezini leo kujiandaa na ligi
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens leo itaanza mazoezi rasmi kujiandaa na Ligi Kuu ‘Serengeti Lite Women’s Premier League’ ambayo inatarajia kuanza Novemba 13.