read
news & Articles
Kocha Pablo aichambua Taifa Stars
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema moja ya sababu iliyoifanya Timu yetu ya Taifa ya Tanzania kukubali kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa DR Congo jana
Pablo atua nchini
Kocha Mkuu Pablo Franco raia wa Hispania tayari ametua nchini leo kuanza kibarua cha kukinoa kikosi chetu. Pablo 41, amepokelewa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu
Simba yajitokeza vipengele vitano tuzo za kidijitali
Kuelekea hafla ya utoaji wa tuzo za Kidijitali zitakazofanyika Desemba 12, jijini Dar es Salaam klabu yetu, viongozi na wafanyakazi wake wamehusishwa katika vipengele vitano.
Simba kurejea mazoezini leo
Kikosi chetu leo kitaanza mazoezi kujiandaa na mchezo ujao wa ligi kuu dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa Novemba 19, Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Kocha wa zamani Real Madrid kumrithi Gomes
Klabu yetu imeingia mkataba wa miaka miwili na Kocha Pablo Franco (41) raia wa Hispania kukinoa kikosi chetu kuanzia sasa. Pablo anachukua nafasi ya Didier
Dilunga akabidhiwa tuzo yake na Emirate Aluminium ACP
Kiungo mshambuliaji Hassan Dilunga, amekabidhiwa tuzo yake ya mchezaji bora wa Oktoba wa mashabiki (Emirate Aluminium Simba Fans Player of the Month) na wadhamini Emirate