read
news & Articles
Pablo aanza na ushindi
Kocha Mkuu Pablo Franco, ameanza na ushindi katika mechi yake ya kwanza baada ya kukiwezesha kikosi chetu kutoka kifua mbele kwa mabao 3-1 dhidi ya
Kagere, Kibu kuongoza mashambulizi dhidi ya Ruvu Shooting
Washambuliaji Medie Kagere na Kibu Denis wamepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa leo dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza
Tunazitaka pointi tatu za Ruvu Shooting
Kikosi leo chetu kitashuka katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kuikabili Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao tunategemea utakuwa mgumu
Pablo: Tuko tayari kwa Ruvu Shooting
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema kikosi kiko tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa kesho
Taddeo Mchezaji Bora Uganda 2021
Kiungo wetu mkabaji Taddeo Lwanga amechaguliwa mchezaji bora wa Uganda kwa mwaka 2021 kutokana na ubora aliounyesha msimu ulipoita. Msimu uliopita Taddeo alicheza mechi nyingi
Simba kuifuata Ruvu Shooting leo
Kikosi chetu kitaondoka leo jioni kuelekea jijini Mwanza kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa Novemba 19 Uwanja