read
news & Articles

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena kujiandaa na Ihefu
Kikosi kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ihefu FC

Queens kamili kupambania mshindi wa tatu kesho
Kocha Mkuu Charles Lukula, amesema kikosi kiko tayari kuikabili Bayelsa Queens kutoka Nigeria kwenye mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa Ligi ya Mabingwa barani

Mgunda: Ligi ni ngumu
Kocha Mkuu Juma Mgunda, ameweka wazi kuwa msimu huu ligi ni ngumu na kila timu bila kujali iko kwenye nafasi gani imejiandaa vizuri kupigania pointi

Tumetolewa na Mamelodi Mabingwa Afrika
Kikosi chetu kimetolewa na Mamelodi Sundowns katika mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kupoteza kwa bao moja. Tulianza mchezo huo

Tumegawana pointi Liti
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Big Stars uliopigwa Uwanja wa Liti mkoani Singida umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja.

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mamelodi leo
Kikosi chetu leo kitacheza Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns utakaopigwa katika mji wa Rabat saa moja usiku kwa saa