read
news & Articles
Ni Orlando Pirates Robo Fainali Shirikisho
Droo ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya robo fainali imekamilika na tumepangwa na Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Katika droo hiyo iliyofanyika
Timu yafanya mazoezi asubuhi kuivutia kasi Coastal
Kikosi chetu kimefanya mazoezi katika uwanja wetu wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union utakaopigwa Alhamisi
Banda: Haikuwa rahisi kupata tuzo ya mchezaji bora
Winga Peter Banda ameweka wazi kuwa haikuwa rahisi kupata tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi kutokana uwezo mkubwa wa wachezaji ambao ameingia
Pablo: Tulistahili kushinda, asanteni wachezaji, mashabiki
Kocha Mkuu Pablo Franco amesema tulikuwa katika kiwango bora kwenye mchezo dhidi ya US Gendarmerie na tulistahili kupata ushindi huo mnono wa mabao 4-0 na
Tumetinga Robo Fainali Shirikisho kibabe
Timu yetu imefanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kwa kushindo baada ya kuichakaza bila huruma US Gendarmerie mabao 4-0
Mugalu, Morrison kuongoza mashabulizi dhidi ya USGN
Mshambuliaji Chris Mugalu na kiungo mshambuliaji Bernard Morrison wataongoza safu ya ushambuliaji katika mchezo wetu wa leo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi y US