read
news & Articles
Tumegawana pointi na Yanga
Mechi yetu ya Ligi Kuu ya NBC ya Derby dhidi ya Yanga iliyofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa imemalizika kwa sare ya bila kufungana. Mchezo ulianza
Nyota watakaotuwakilisha dhidi ya Yanga leo
Mshambuliaji Chris Mugalu ataongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Yanga utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa leo Aprili 30, saa
Tunataka kuvunja rekodi yao leo
Leo saa 11 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ya mzunguko wa pili.
Queens yaendeleza dozi ilipoishia
Timu yetu ya Wanawake Simba Queens imeendelea kukusanya alama tatu baada ya kuifunga Ilala Queens mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti
Pablo: Hatuna Presha na mchezo wa kesho
Licha kuwa na tofauti kubwa ya pointi kati yetu na vinara wa ligi kuelekea mchezo wa kesho wa Derby dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu Pablo
Timu yaendelea kujifua Mo Arena
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Yanga utakaopigwa Jumamosi kwenye